Saturday, July 11, 2015

bREAKING NEWS, UCHAGUZI WAAIRISHWA TENA, -NKURUNZIZA NI VITUKO TUUPU


bREAKING NEWS, UCHAGUZI WAAIRISHWA TENA, -NKURUNZIZA NI VITUKO TUUPU


Upinzani unadai kuwa rais Nkurunziza anakiuka katiba ya taifa na mapatano ya Arusha yaliyokomesha vita vya wenyewe kwa wenyewe.
Kwa mujibu wa Msemaji wa rais ,Gervais Abayeho uchaguzi huo umeahirishwa kutoka tarehe 15 hadi tarehe 21 kufuatia shinikizo la viongozi wa kanda ya Afrika mashariki na Kati.
Viongozi hao wakiwemo mwenyekiti na mwenyeji wa jumuiya, rais Jakaya Kikwete wa Tanzania, na Yoweri Museveni wa Uganda, rais wa Kenya Uhuru Kenyatta waliendekeza uchaguzi uahirishwe kufuatia mgogoro wa kisiasanchini Burundi.

No comments:

Post a Comment