Tuesday, July 14, 2015
Wasichana wa chuo kenya, wakisagana mbele ya kamera uchu uchi
Wasichana wa chuo kenya, wakisagana mbele ya kamera uchu uchi
Tendo la ndoa au ngono ndilo tendo la furaha lililo kuu kwa binadamu. Wakati tendo hilo kwa wanyama lipo kwa ajili ya kuzaa,kwa upande wa binadamu ni zaidi ya kuzaa.Mapenzi au tendo la ndoa ni sanaa hivyo inatakiwa ufundi na ubunifu ili kuweza kufurahia tendo hili.
Sunday, July 12, 2015
Wazee watano wa CCM walio mkata LOwasa
Haikutosha, akatumia Shilingi Bilioni Nane, kuzunguka Mikoani kufanya Kampeni, Badala ya kutafuta Wadhamini, kinyume na Katiba ya Nchi na Katiba ya CCM ya Mwaka 1977, toleo la 2012, na Kinyume na Kanuni za Uteuzi wa Wagombea wa CCM Katika Vyombo vya dola, Toleo la 2010, huku akiwahadaa Watanzania kwa sababu ya njaa za Watanzania,akiwahonga Vijana Vijisenti Vyake ili aonekane kwamba anakubalika na Watu!
Haikutosha, akatumia degree yake ya Sanaa aliyoipata Chuo Kikuu Dar Es Salaam kwa kutuhadaa kwamba ANAKUBALIKA NA WATANZANIA!
Sasa, Kuna Mpango Kabambe, Ameuandaa na Vibaraka Wake wa Kufanya UASI, UFEDHULI na UHAYAWANI Ndani ya CCM, Kwa Kuwa Kalamu ya Shilingi 200, Imetenda MAAMUZI MAKINI,MAGUMU NA YENYE HAKI NA KULETA UADILIFU WA KUONDOA BATILI KWENYE HAKI!
Tuna IMANI na KAMATI KUU CCM, Chini ya Mwenyekiti Taifa wa CCM, Rais Dr Jakaya Mrisho Kikwete. Tuna Mshukuru Mwenyezi MUNGU Kwa Kutenganisha Magugu na Ngano!
Chama Cha Mapinduzi, Kipo Imara, na Wala Hakitikisiki Kamwe!
http://www.zipakue.com/audios/12/f2dic--hachuji--bongo-flava.html
Saturday, July 11, 2015
mATOKE YA MBEYA LEO, ANGALIA MWENYE UONE, VITUKO HAPA MBEYA AJALI MBAYA SANA
Naibu meya wa Manispaa ya Iringa Gravas Ndaki akishangaa ajali ya karne yenye maajabu makubwa kwa mkoa wa Iringa ,ajali iliyotokea usiku wa jana eneo la Hoteli ya kati (makosa) au CRDB
Picha za Mtoto anaye ishi Maisha Magumu siyo ya raha kabisa, -Kweli CCM ni laana tuuu
BABA WATAIFA ALISEMA CCM NI CHAFU, SERIKALI NI BALAA TUPU
Pichani mtoto huyu na wadogo zake maisha yao
yalikuwa ni ya raha sana wakati wazazi wao
walipokuwa hai, Baba mfanya biashara na Mama
Mwalimu...
Matatizo yalianza pale wazazi wote walipofariki
katika ajali ya gari iliyotokea Mbeya ambapo gari
ilitumbukia katika mlima nyoka na wazazi wake
kufariki pamoja na wadogo zake wawili na kubaki
yeye na dada yake wa kwanza ambaye nae
alikuwa kidato cha pili..
Baada ya hapo, mali za marehemu baba yake
zilitaifishwa na Benki kwani baba yake alikopa
Benk na nyingine marafiki wa baba katika
biashara kugombania hivyo kuwachia nguo tu na
mali kidogo ambazo ndugu wa baba yake
walizigawana.
Mirathi ya mama yao ilitoka lakini shangazi zake
walidai kuwa madogo hawana chao, hivyo
wakaachwa juu juu na wao wakaamua kwenda
dar kusaka maisha.
Dada yeye akawa house girl na dogo akawa
akizunguka mtaani kusaka riziki.
Kwa sasa dogo anataabika hana pa kulala wala
kula na hana msaada wowote na dada yake
kashanyiwa mikasa ya ajabu na sasa hajulikani
alipo..
Nyie ndugu msio na roho za huruma acheni tabia
hizo kwani Mungu anaona mnayoyafanya...!!
Mkiwa makanisani mnajifanya kutoa sana sadaka
kumcha Mungu lakini nyuma yenu mnafanya
mambo ya ajabu ya kugombania mali za
marehemu na kuwacha vijana wanasota mtaani
bila huruma na wakati wazazi wapo mlijifanya
kina anko safi
MUNGU ANAWAONA ACHENI HIZO MAMBO
Maisha club , inafunguliwa kama Maisha basement kweny jengo jipya dar leo
Katika jengo refu tanzania LAPF ground flor, hapo sasa ndio sehemu yenye chimbo jipya la burudani... MAISHA BASEMENT.. Kwa mara yakwanza, Maisha club na nyumba mpya
Matuko dar leo- Mtu mmoja ajiua na Train Picha zote zakutisha- Maisha magumu
Matuko dar leo- Mtu mmoja ajiua na Train Picha zote zakutisha- Maisha magumu
Alipohojiwa na waandishi wa habari katika eneo la tukio, Frank amedai sababu ya kutaka kuutoa uhai wake inatokana na ongezeko la mafisadi (wabadhirifu wa mali ya umma) hapa nchini, ambao Serikali imeshindwa
bREAKING NEWS, UCHAGUZI WAAIRISHWA TENA, -NKURUNZIZA NI VITUKO TUUPU
Upinzani unadai kuwa rais Nkurunziza anakiuka katiba ya taifa na mapatano ya Arusha yaliyokomesha vita vya wenyewe kwa wenyewe.
Kwa mujibu wa Msemaji wa rais ,Gervais Abayeho uchaguzi huo umeahirishwa
kutoka tarehe 15 hadi tarehe 21 kufuatia shinikizo la viongozi wa kanda
ya Afrika mashariki na Kati.
Viongozi hao wakiwemo mwenyekiti na mwenyeji wa jumuiya, rais Jakaya
Kikwete wa Tanzania, na Yoweri Museveni wa Uganda, rais wa Kenya Uhuru
Kenyatta waliendekeza uchaguzi uahirishwe kufuatia mgogoro wa
kisiasanchini Burundi.
AIBU KUBWAAA....MSICHANA.....AKUTWA AKIKOJOA HADHARANI BILA AIBU
AIBU KUBWAAA....MSICHANA.....AKUTWA AKIKOJOA HADHARANI BILA AIBU
AIBU TUUUPU WANAWAKE WENGINE NI BALAA
VITUKO DAR LEO- DAR ES SALAAM YETU, PICHA YA JAMAA AKIFANYA YAKE
ZITTO KABWE, KIONGOZI WA ACT- ASEMA YA MOYONI KUHUSU LOWASA- KUKATWA
Baada ya chama cha Mapinduzi kupitisha majina matano kwenye tano bora ya Wagombea CCM nafasi ya Urais 2015 kupitia chama hicho.
Sasa
kiongozi wa Chama Cha ACT Wazalendo, Mh Zitto Kabwe leo amefunguka
kuhusu chama chake kumteua mgombea au kuunga mkono mgombea cha chama
kingine.
Kupitia kwenye ukurasa wake wa twitter amewahabarisha wananchi kwa kusema…’Chama
chetu kitateua mgombea au kuunga mkono mgombea wa chama kingine kwa
maamuzi ya VIKAO vya chama. Kama Kiongozi wa chama sina mamlaka yeyote
yale kutangaza mtu kuwa mgombea wetu’ – @zittokabw
Huyu ni mtoto wangu anaye ishi marekani - Lonnett -Msichana mrembo- TUSIWE KAMA LOWASA
Huyu ni mtoto wangu anaye ishi marekani - Lonnett -Msichana mrembo- ana mtoto mmoja, mjukuu wangu, Mungu ibariki Famili yetu. na utulinde kwa neema zako, ili tutakapo nyanyuka na wengine wanyanyuke nasi, tutakapo dondoka, tusikate tamaa, - Mungu mkuuu. TUSIWE MAFISADI KAMA AKINA LOWASA, AND NDUGU ZAKE,
Friday, July 10, 2015
Wasichana wanopenda kuonyesha Matiti yao makubwa nje nje Dar leo
Wanawake wanaopenda kuonyesha matiti yao hadharani, bila woga,
Wanawake Makubwa nje nje, bila waga, vijimambo dar,
Subscribe to:
Posts (Atom)